AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Reposted from @majizzo G lilibaki kama jina la kufikirika, mimi na Mama yake tulikuwa tunalitumia (Baba G/Mama G) wakati mtu mwenyewe hayupo.
Lakini imani ni kuwa na hakika na mambo yanayotarajiwa, tulikuwa na imani kwa Mungu wetu kwamba ipo siku bwana ‘G’ atakuja duniani. Mungu amejibu maombi yetu, mimi na mke wangu @elizabethmichaelofficial tumejaaliwa mtoto wa kiume, jina lake ni ‘G’.
Nafasi za Ajira Serikalini Bonyeza HAPA
G na mama yake wako vyema kabisa kiafya, tumejawa na furaha kubwa. Namshukuru mke wangu kwa zawadi hiyo.
Baasi tukumbukane katika sala na dua zenu. Asanteni.
.
#GKazaliwa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK