John Bocco: Simba SC wananidai makombe matatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MSHAMBULIAJI na Nahodha wa Simba, John Bocco, ameweka wazi kuwa licha ya kufanikiwa kutwaa makombe manne mfululizo ya Ligi Kuu Bara, bado ana deni la mataji matatu ili kufikisha saba.

 

Leo Jumapili, Simba inatarajiwa kukabidhiwa rasmi kombe lao la Ligi Kuu Bara kwa msimu huu wa 2020/21, ambalo wamelitwaa mara nne mfululizo.

 

Zoezi hilo litafanyika baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo utakaopigwa Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.

 

Akizungumzia mafanikio yao msimu huu, Bocco alisema: “Kwanza tunamshukuru Mungu kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wetu wa nne mfululizo, hakika haikuwa kazi rahisi kwetu na mashabiki wetu, hivyo kila mmoja anastahili pongezi kubwa kwa mafanikio haya.“

 

Lakini licha ya mafanikio haya, binafsi najiona kuna deni kubwa mbele ya Wanasimba la kuendeleza utawala wa kutwaa makombe zaidi, natamani kuona tukitwaa angalau makombe saba mfululizo, lakini pia natamani kuona tunawapa Wanasimba Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika.”

STORI: JOEL THOMAS, DAR

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad