Kutaumana Leo..Hiki hapa Kikosi cha Mnyama Simba Dhidi ya Yanga Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


 LEO Julai 3, majira ya saa 11:00 kunatarajiwa kuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba v Yanga ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Huu ni mchezo wa ligi ambapo Simba ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Didier Gomes imeweka wazi kwamba inahitaji pointi tatu muhimu

Hiki hapa kikosi cha Simba kinachotarajiwa kuanza leo mbele ya Yanga namna hii:

Aishi Manula

Shomari Kapombe

Joash Onyango

Pascal Wawa

Mohamed Hussein

Luis Miquisson

Taddeo Lwanga

Mzamiru Yassin

Clatous Chama

Chris Mugalu

John Bocco

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad