AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa familia ndugu jamaa na marafiki kuafuatia kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira kilichotokea leo Julai 22, katika hospital ya Rufa ya Mount Meru mkoani Arusha alipokuwa anapatiwa matibabu.
Rais amesema amepokea taarifa za kifo cha Anna Mghwira kwa majonzi na masikitiko makubwa hasa akikumbuka mchango alioutoa katika ujenzi wa taifa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK