RASMI sasa Lionel Messi sio mchezaji tena wa Barcelona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


RASMI sasa Lionel Messi sio mchezaji tena wa Barcelona , mkataba wake umeisha rasmi jana usiku

Joan Laporta anakimbizana na muda kumpa gwiji huyo mkataba mpya . Wanapambana na ishu za Financial Fair Play ( FFP ) na baada ya hapo ndio wapate ufumbuzi kuhusu suala la Messi

NOTE

Ngoja wenye hela zao wampitie juu kwa juu ndio Laporta hapo akili itamkaa sawa

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad