Waziri Ummy afafanua matumizi ya Bil. 600 za Tozo anazokatwa Mwananchi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Serikali kupitia Ofisi ya Rais imetolea ufafanuzi wa fedha zaidi ya inayotozwa kwenye mitandao ya simu inavyokwenda kutekeleza miradi ya maendeleo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI

Amesema Fedha hizo zinakwenda kutekeleza miradi ya Elimu,Afya ya Msingi na Miundombinu ya barabara Waziri Ummy amesema shilingi Billion 125 zinatarajia kukamilisha maboma 10,000 ya shule za msingi na Sekondari,Billioni 200 kukamilisha maboma ya zahanati 900 pamoja na vifaa tiba na Billioni 322 ujenzi wa barabara na madaraja.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad