AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ushindi wa bao 1-0 wa Yanga dhidi ya Simba na kutwaa Ngao ya Jamii ni ishara kuwa Bilionea wa Yanga Ghalib Said Mohamed sasa amekarika na kuamua kuwanyamazisha Simba.
Kitendo cha kuwakodia Yanga ndege na kwenda Nigeria na kuwasubiri katika mchezo wake dhidi ya Rivers wa Klabu Bingwa Afrika kimetafsiriwa kuwa safari hii GSM ameamua haswa.
Ushindi wa leo umedhihirisha hilo kuwa sasa GSM hataki mchezo na msimu huu ni msimu wa mataji kwa Yanga.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK