Hamisa Mobetto Ana Kitu Gani Kinachovutia Matajiri?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katika mastaa wakike Tanzania waliofanikiwa kudate na Matajiri na Watu maarufu Tanzania Hamisa Mobetto pia hatuwezi kumsahau kwenye List.

Hamisa amezaa na Diamond Platnumz , amezaa na Majizzo, Mkurugenzi mtendaji wa Efm na Tve na inasemekana anadate na Fred Vunjabei.

Unaweza kuona Jinsi gani hamisa anapata bahati ya kudate na watu wazito Tanzania, ambao ni ndoto za kila Msichana. Hamisa anapataje Hizi fursa? Kama sababu ni ustaa mbona kuna wasichana mastaa zaidi kama kina shishi lakini hawapati hizi fursa. Mi nahisi hamisa ananyota kubwa sana, inayomfanya ashine kwa matajiri.

Uzuri wa hamisa tuuweke kando, ila pia anaakili, pale anapodate mtu hakubali amuache hivi hivi , lazima wapate mtoto, ili aendelee kupata child support hata kama ataachana na bwana wake. Hiki kitu wasichana wengi wanafeli, inabidi waige kutoka kwa hamisa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad