AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mfanyabiashara zarithebosslady amejitokeza kutoa tahadhari kwa wafuasi wake baada ya watu kuibuka na kutapeli watu kupitia jina lake na sura yake
Akizungumza kupitia video aliyoi-post Instagram Zari amesema kuwa kumekuwa kuna kundi la watu wanatapeliwa kupitia jina lake.
Watu hao wamekuwa wakiambiwa kuwa Zaria anafanya mafunzo ya biashara za sarafu mtandaoni Forex na wengine hutumia jina lake kuomba msaada kupitia taasisi yenye jina lake kwaajili ya kusaidia watu
"Nahitaji mfahamu sifanyi biashara, sifanyi Forex, sijaomba pesa kuwezesha taasisi yangu ya Zari Foundation"
"Sipeleki watu nje ya nchi kuwatafutia kazi. Watu wengi wamekuwa wakitapeliwa na lawama zinarudi kwangu kwasababu matapeli wamekuwa wakitumia sura yangu"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK