Harmonize Ahairisha Kumtoa Leo Msanii Wake Mpya Cheed

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka kwa C.E.O wa @kondegang bwana @harmonize_tz ametangaza rasmi kusogezwa mbele kwa tarehe ya kuachia rasmi kazi za @officialcheed ambapo leo tarehe 24 ndio ilikuwa rasmi siku ya utambulisho wa kijana wake huyo ambapo walibatiza siku hii kwa jina la #CheedDay

@harmonize_tz hajasema rasmi kwamba lini itakuwa siku ya kuachiwa tena kwa kazi za @officialcheed Ila amesema taarifa itatolewa hivi karibuni..

MY TAKE: Binafsi toka akiwa @kingsmusicrecords Mimi nimekuwa namkubali saaana @officialcheed na ukweli hii siku nilisubiri kwa hamu kusikia package ya ngoma ambazo ametuandalia.

Ila naamini huenda kusogeza mbele kunatokana na maboresho makubwa ambayo yanatakiwa kufanyika binafsi nitaendelea kusubiri kwa hamu kusikia kazi hizo na utambulisho rasmi wa @officialcheed akiwa kwenye management mpya ya @kondegang
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad