Mwimbaji Derulo Atangaza Kuachana na Mama Mtoto Wake Jena Frumes.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ikiwa ni miezi minne tu imepita toka wapate mtoto wa kiume, JAson Derulo ametangaza kuachana na mama mtoto wake Jena Frumes.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Jason ametoa taarifa hiyo huku akisisitiza kuwa ni maamuzi yao wawili na hawahitaji kuingiliakwa sasa. Jason ameandika Mimi na Jena tumeamua kuachana. Jena ni mama bora lakini tumona kwamba tukitengena itatufanya tuwe watu bora zaidi"

Wawili hao walianzisha mahusiano yao mnamo march 2020 na wamefanikiwa kupata mtoto mmoja ambaye mpaka sasa hawajaweka wazi sura ya mtoto huyo wa kiume

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad