Johari "Kwasasa Nipo Tayari Kuolewa na Mwanaume yoyote"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Muigizaji mkongwe hapa Tanzania JOHARI CHAGULA katika mahojiano na kipindi cha Refresh (Wasafi Tv) amefunguka sababu za yeye kutopata mume mpaka sasa na kusema kwamba yupo tayari kuolewa na mwanaume wa aina yoyote Katika mahojiano amefunguka haya:•

"Mimi ni mkubwa kiumri kwa kweli Watanzania mjue kua mimi ni mkubwa.Wanaume wapo wengi wanaotaka kunioa ila wote unakuta washaoa wanataka niwe Mke wa pili mimi kwa kweli siwezi ila kwa sasa nipo tayari kuolewa na mwanaume yoyote sitaki kuchagua sana ila cha muhimu anisaidie na kunisupport katika kila jambo ninalo lifanya"-Ameongea Johari


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad