Nandy "Mademu Bana Wanadai Nina Sura MBOVU"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Dizaini kama @officialnandy ameshindwa kuwavumilia waja waliotiririka kwenye post yake ambayo ni Extreme close up ikimuonyesha namna alivyo bila make up.

Watu wengi wametoa maoni yao hasa wakidiss kwamba msanii huyo ni mbaya anabebwa na Make up, na kilichomsikitisha ni kuona wanawake wenzie ndio wanaomsagia kunguni zaidi huku akifananisha kitendo hicho na uchawi halisi😁.


Nandy amewajibu kuwa ni kheri awe mbaya ila awe na pesa chafu na kingine wasiongelee sura yake, waongelee pesa zake. Anadai inabidi washangae pesa zake wakisema kumbe ndio pesa ulizonazo hizo😁.

Daah sema Mama Range Rover,wasamehe bure🤪.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad