Mwanamuziki wa Marekani Rapper Meek Mill Adai Kuponeshwa Tumbo na Dawa za Mitishamba Kutoka Africa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


#SNSEnt: Ikiwa tunaisubiri album mpya ya tano kutoka kwa rapper @meekmill ambayo ametangaza kuiachia Oktoba 1, mwaka huu, mkali huyo mzaliwa wa Philadelphia nchini Marekani ameweka wazi kuwa amepona tatizo lake la tumbo kwa mitishamba kutoka Afrika kama miujiza.

#MeekMill amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa twitter akieleza kuwa, tatizo lake hilo la tumbo limekuwa likimsumbua kwa takribani miaka miwili, na ashakutana na madaktari mbalimbali lakini hakupata uafadhali, ila dawa zilizoponesha tatizo hilo ni mitishamba kutoka Afrika.

"Ni takribani miaka miwili nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la tumbo. Nimejaribu madaktari mbalimbali lakini sikupona. Nimetumia mitishamba kutoka Afrika na tumbo langu limepona kama miujiza" ame-tweet Meek Mill.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad