AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mama Ntilie maarufu hapa Tanzania pia ni mwanamuziki wa kike anayefanya vizuri katika BongoFleva @officialshilole katika kipindi cha "The Joint" (Dizzim Tv) amefunguka kwa uchungu namna alivyopambana kulea watoto wake na kusema hatokubali mtu yoyote kuchezea watoto wake kama mtu akithubutu atahakikisha wanagawana majengo ya serikali.Katika mazungumzo amefunguka haya:•
"Mtu atakayeniaharibia watoto wangu tutagawana mjengo ya serikali, utaenda jela na mimi nitanda mochuari kwa kweli.Nimekuwa single mother kwa miaka zaidi ya mitano, maisha niliyoyapitia mimi hawapaswi kuyapitia watoto wangu
Mimi ni mwanamke ambaye sipendi kuangaika na wanaume, nikiwa na mwanaume mmoja nakaa na huyo huyo na ndo maana hua napenda kumtambulisha wazi mtu ninaye mpenda"-Ameongea Shilole
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK