Akutwa Amenyongwa Na Kufungwa Na Kufuli Juu Ya Mti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mtu mmoja ambaye jina lake halijafahamika kwa haraka amekutwa amening’inizwa juu ya mti mtaa wa Malingumu Mjini Mafinga huku taarifa za kifo chake zikiwa bado hazijajulikana .

 

Kijana huyo anayekadriwa kuwa na umri wa kuanzia miaka 22 ambaye kwa jina la utani anafahamika kama Babu Rungu amekutwa na umauti katika mazingira ya kutatanisha kama anavyobainisha Bi Beatrice Msigwa ambaye alikuwa mtu wa kwanza kufika kwenye tukio.

 

Mwenyekiti wa Mtaa wa Malingumu Frida Kipangula anasema tukio hilo ni tukio la kinyama ambalo halikubaliki hivyo watekelezaji wa tukio hilo lazima watatiwa mbaroni na hakuna ataye salia salama.

 

Hata hivyo baada ya  taarifa za tukio hili kulifikia jeshi la polisi, maofisa wa jeshi hilo waliwasili,ili haraka eneo la tukio na kuondoka na mwili wa marehemu kwa taratibu zaidi za kiuchunguzi ili kubaini chanzo cha tukio hilo na washtakiwa wa utekelezaji wa tukio kuanza kusakwa. Mara moja

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad