AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kuonekana album ya @officialalikiba THE ONLY ONE KING inauzwa kiholela mtaani na wale wanao bun CD pamoja na Flash kitu ambacho ni kinyume na sheria pia kutokuwepo makubaliano kati ya muhusika wa maudhui ambaye ni @officialalikiba pamoja na wauza CD pamoja na flash mtaani.
Siku ya jana wasimamizi wa kazi za wasanii @cosotatanzania wametoa tamko kwa wote wanaofanya hivyo mtaani kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria na adhabu yake ni faini ya mil. 20 au kifungo cha miaka mitatu mpaka mitano jela au vyote kwa pamoja.
Hivyo wamewatahadharisha kuwa wakiwa wanaendelea na taratibu za kuwafuatilia wauzaji wanatakiwa waache mara moja.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK