Breaking News: Watu 9 Wafariki Dunia Kwa Ajali Ya Basi la Kuja Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watu tisa wamefariki dunia na wengine zaidi ya 30 wamejeruhiwa baada ya basi la Emigrace linalofanya safari zake kati ya Babati Mkoa wa Manyara na Dar es Salaam kupinduka.

Ajali hii imetokea leo Jumamosi October 2, 2021 katika mteremko wa milima ya kolo Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma ambapo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Besta Magoma amethibitisha, taarifa zaidi kukujia.#RIP🙏🏿
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad