Habari za Kunyapia Zadai Lukamba Mpiga Picha wa Diamond Amefukuzwa Kazi, Rommy Jons Azibitisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Inasemekana mpiga picha wa DiamomdPlatnumz Lukamba kwa sasa hana kazi, ni Muda mrefu ameonekana akiwa benchi huku nafasi yake ya kumpiga picha Diamond Platnumz ikiwa imechukuliwa na Mpiga picha wa Mbosso, Habari za Kunyapia zinasema kisa na mkasa wa kuwekwa benchi ni kuwa Jamaa anaendekeza sana Mapenzi

Katika picha aliyoposti leo kumuwishi Diamond Siku ya kuzaliwa kwake, Rommy Jons amekomment "Si umefukuzwa kazi wewe"

Kuna ukweli wowowte?😂😂👇
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad