AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uhusiano kati ya Rapper Drake na Kanye West umeendelea kuwa mbaya zaidi baada ya Champagne Papi kuamuwa kum-unfollow Ye kwenye ukurasa wake wa instagram baada ya miaka mitano ya kumfuata (follow) kwenye mtandao huo.
Wawili hao wapo kwenye ugomvi kwa muda mrefu, lakini hali hiyo haikumfanya Drake kutom-follow Kanye Instagram hadi siku ya Jumatatu wiki hii alipoamuwa kumkataa mazima.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK