Dulla Mbabe achezea kichapo kutoka kwa Tshimanga Katompa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




BONDIA Abdallah Shaaban Pazi ‘Dullah Mbabe’ jana aliwasononesha Watanzania baada ya kuchapwa kwa pointi na Tshimanga Katompa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika pambano la raundi 10 ukumbi wa PTA, Temeke Jijini Dar es Salaam.

Dullah ambaye Agosti 20 alishindwa pia kwa pointi na Mtanzania mwenzake, Twaha Kassim ‘Kiduku’ – hakuwa katika ubora wake kabisa jana baada ya kuangushwa mara tatu ndani ya raundi ya saba, kabla ya kumalizia raundi tatu za mwisho na kuepuka kipigo cha Knockout. 

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad