Hatimaye Drake Amiliki Rolls Royce Aliyokuwa Akiiikodi Kushow Off Kabla Hajatoka Kimuziki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





HATIMAYE Staa wa muziki duniani, Aubrey Drake Graham maarufu kama Drake amefanikiwa kumiliki gari alilokuwa akilikodi kutoka kwa jamaa zake kwa takribani miaka kumi na nne (14) iliyopita, wakati akipambana kutafuta nafasi ya kufanikiwa kimuziki.


Drake sasa analimiki gari hilo baada ya meneja wake na Dj future the Prince, kuamua kumnunulia gari hilo aina ya Rolls Royce Phantom toleo la mwaka 2007 na kumpatia kama zawadi kwenye sherehe ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa.


Akizungumza kuhusu mapokezi yake juu ya zawadi hiyo, Drake alisema alikuwa akilikodi gari hilo kwa kiasi cha pesa Usd 5,000 ambazo ni sawa na 11.5 Milioni kwa mwezi ikiwa ni sehemu ya kuilinda hadhi yake na kutegeneza thamani yake mtaani katika kipindi alichokuwa akitafuta nafasi yakufikia malengo yake.


Rapa Drake kwa sasa ni mmoja wa wasanii wenye utajiri mkubwa akiwa anashikilia nafasi za juu kwenye chati mbali mbali za muziki Duniani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad