AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutoka Kwenye Ukurasa Wa Instagram Wa C.E.O Wa Klabu Ya Simba Sc @bvrbvra Ameandika.........."Leo tumejifunza somo la maana: ‘Kamwe usiwadharau wapinzani wako hadi filimbi ya mwisho itakapopulizwa.’ Hakuna dhamana katika mpira wa miguu. Bado ninaamini tuna timu nzuri. Kuteleza si kuanguka. Tutarudi tukiwa na nguvu zaidi! 🦁 #NguvuMoja''
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK