Mange Kimambi Asimulia Jinsi Alivyotumia Kiki ya Kifo cha Mwalimu Nyerere Mpaka Akapata Pumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ameandika Mangekimambi_ 

"Happy Nyerere day Tanzania.

Unakumbuka ulikuwa wapi siku Nyerere kafariki? Mimi nilikuwa shule ya secondary, Harare Zimbabwe. Basi ilikuwa headline news kwenye magazeti na TV za Zimbabwe, basi wanafunzi wa Kitanzania tukawa tunapewa pole na kila mtu mpaka assembly tukapewa pole na headmistress. Weeeee Mimi sasa nkaona nitembee na kiki, wiki nzima nilikuwa nahadithia Wazimbabwe story za Nyerere, zingine hata natia chumvi. Darasani nilipewa nafasi ya kumuelezea Nyerere historia yake. Yani mpaka nalia nikumuelezea. Haki nilitembea na kiki na huyu baba mpaka nilibanwa pumu kwa kulia na mawazo ya kufiwa, na huku sijawahi kuwa na pumu😩.

R.I.P the one and only Baba wa Taifa…."
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad