AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jimbo la Marekani la Oklahoma limetekeleza adhabu ya kifo kwa kumdunga sindano ya sumu iliyomuua mfungwa mara ya kwanza baada ya miaka sita tangu adhabu hiyo ilipotekelezwa mara ya mwisho.
Walioshuhudia tukio hilo wanasema John Grant – mwanaume aliyekuwa na umri wa miaka 60, alionekana akitetemeka na kutapika baada ya kudungwa sindano hiyo.
Hukumu hiyo ya kifo ni ya kwazna katika Oklahoma tangu mipango ifanyike mipango ya jimbo hilo kusitisha adhabu ya kifo.
Mawakili wa Grant wanadai kuwa matumizi ya sindano za mid-zolam ni adhabu isiyo ya kawaida, inayokiuka haki zake za kikatiba
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK