Mshukiwa wa mauaji ya Norway huenda alikuwa na shida ya kiakili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Polisi nchini Norway imesema mtu aliyewauwa watu watano kwa upinde na mishale na silaha nyingine huenda alikuwa na matatizo ya kiakili. 
Inspekta wa Polisi Per Thomas Omholt ameuambia mkutano wa waandishi wa habari kuwa maafisa walichunguza masuala kadhaa, ikiwemo hasira, kulipiza kisasi, itikadi kali, magonjwa, uchokozi, na kukubaliana kuwa hoja inayoonekana kuwa ya msingi katika siku hizi za kwanza za uchunguzi ni kuwa historia yake ni ya maradhi. 

Mshukiwa huyo raia wa Denmark mwenye umri wa miaka 37, Espen Andersen Braathen, amekiri kuwauwa watu hao watano na anaendelea kushirikiana katika uchunguzi. 

Mapema leo, mahakama iliamuru kuwa Braathen aendelee kushikiliwa kizuizini kwa hadi wiki nne kabla ya kusikilizwa kesi yake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad