Aunt Ezekiel Amefunguka Juu ya Madolari ya Kimarekani zaidi ya 2,000 Alizommwagia Zamaradi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MWANAMAMA wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amefunguka juu ya madolari ya Kimarekani zaidi ya 2,000 (zaidi ya shilingi milioni 4.5 za Kitanzania) alizommwagia Zamaradi Mketema kwenye sherehe yake ya kuzaliwa aliyoifanya nyumbani kwake, Bunju jijini Dar, hivi karibuni.


Aunt ambaye ni mama wa watoto wawili ameliambia Gazeti la IJUMAA kuwa, anawashangaa watu wanavyosema amepata wapi pesa za kumtunza mtangazaji huyo, wakati ni mambo ya kawaida kwenye maisha yao ya kila siku hivyo watu wakae kwa kutulia.


“Kwetu sisi hayo ni mambo ya kawaida sana, sijui nisemaje kwa kweli, kutunzana siyo ishu kwetu ila nashangaa baadhi ya watu wanajadili na siyo kwamba tumeanza leo,” anasema Aunt ambaye alivunja rekodi kwenye kitunza.

STORI: IMELDA MTEMA, DAR
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad