AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANAMAMA wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amefunguka juu ya madolari ya Kimarekani zaidi ya 2,000 (zaidi ya shilingi milioni 4.5 za Kitanzania) alizommwagia Zamaradi Mketema kwenye sherehe yake ya kuzaliwa aliyoifanya nyumbani kwake, Bunju jijini Dar, hivi karibuni.
Aunt ambaye ni mama wa watoto wawili ameliambia Gazeti la IJUMAA kuwa, anawashangaa watu wanavyosema amepata wapi pesa za kumtunza mtangazaji huyo, wakati ni mambo ya kawaida kwenye maisha yao ya kila siku hivyo watu wakae kwa kutulia.
“Kwetu sisi hayo ni mambo ya kawaida sana, sijui nisemaje kwa kweli, kutunzana siyo ishu kwetu ila nashangaa baadhi ya watu wanajadili na siyo kwamba tumeanza leo,” anasema Aunt ambaye alivunja rekodi kwenye kitunza.
STORI: IMELDA MTEMA, DAR
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK