AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Raisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan ametumia kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii kuwapongeza wachezaji na benchi zima la ufundi la timu ya taifa ya wanawake #TwigaStars🇹🇿 kwa kuibuka mabingwa wa mashindano ya #Cosafa2021 kwa upande wa wanawake baada ya ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Malawi katika mchezo wa fainali.
Tangaza kwenye Blog Hii Piga number 0714604974
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK