Mwimbaji Queen Darleen "Kwenye Mziki wa Bongo Mimi ni Nungunungu au Karunguyeye"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji Queen Darleen anasema ameshindwa kujipa jina la mnyama kutokana yale makubwa na yanayosifika yameshachukuliwa na kama kutakuwa na ulazima wa yeye kufanya hivyo, basi atatumia jina la Nungunungu au Karunguyeye.

"Unajua kila anachofanya msanii ana lengo lake, kuna shabiki muda mwigine hajisikii kukuita Queen Darleen, anataka tu kukuita Nungunungu, kwa hiyo inaleta ladha fulani," amesema Darleen.

Baadhi ya wasanii wanaotumia majina ya wakali ni Diamond Platnumz (Simba), Harmonize (Tembo), Rayvannny (Chui), Country (Fisi), Dubu Baya (Mamba) na Afande Sele (Simba).


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad