AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
On trending now, ni vita ya maneno yanayo tafsiriwa kuwa vijembe kati ya ma photographers wawili wa wasanii wa tanzania, @lukambaofficial (diamond) na @jabulant_ (harmonize) ambao wote kwa pamoja wapo nchini marekani kwa shughuli zao za kimuziki.
Sekeseke hilo lilianza siku kadhaa nyuma baada ya photographer wa harmonize #jabulant kudai kwamba wasanii na photographer wote wakubwa wapo nchini marekani , ambapo alichapisha kupita insta story yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK