Unaambiwa Tanasha Donna na Tommy Flavour Mambo Safi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji toka Kings Music, Tommy Flavour amenifanikiwa kufanya video ya ngoma yake na Tanasha Donna toka nchini Kenya.

Wawili hao walishuti video hiyo visiwani Zanzibar siku kadhaa zilizopita, mashabiki wengi walikuwa wanajua ni kazi ya Alikiba lakini imekuja kubainika sivyo.

Kabla ya kuingia kwenye muziki, Tanasha alijizoleha umaarufu Bongo baada ya kutokea kwenye video ya wimbo wa Alikiba na Christian Bella 'Nagharamia' ikiwa ni video yake ya kwanza kufanya.

Inaelezwa video ya wimbo huo ilishakuwa imefanyika na mrembo mwingine ila haikutoka kwa kiwango kinachotakiwa, hivyo ikarudiwa.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad