Alichokisema Mo Dewji Baada ya Simba Kuwafanya Vibaya Red Arrows

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Simba Mohammed Dewji ametuma ujumbe wa pongezi kwa wachezaji wa Simba baada ya kufanikiwa kupata ushindi wa 3-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia.

Dewji ambaye kwa sasa ni Rais wa heshima wa klabu hiyo ametumia ukurasa wake wa mtandao wa twitter kutuma pongezi hizo huku akiwapa salamu Red Arrows.

"Alhamdulillah: Hongereni wanasimba: Zambia here we come! 🦁🦁🦁" amendika Mo.

Simba sasa itakiwa kuapata sare ya aina yoyote ile au ushindi kwenye mchezo marudiano utakaofanyika nchini Zambia
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad