AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kijana anayefahamika kama Mathew David Hughes aliyetaka kumuua Rapa Eminem kwa majaribio kadhaa mwaka 2020 aingia tena matatizo baada ya kumvamia mlinzi wa Mall huko Marekani .
Hughes akiwa na miaka 28 tu alikutwa na hatia kwa makosa ya uvamizi na uharibifu wa mali na baada ya mashtaka ya kwanza kufutwa alikutwa na hatia tena ya uvamizi kwenye nyumba ya Rapa Eminem .
Mbali na hayo Hughes ambaye alikuwa anatumukua kifungo cha nje amekutwa na hatia ya kutohudhuria Kesi yake mahakamani na kosa lingine ni kumvamia Mlinzi wa Shopping Mall .
Hughes baada ya kumvamia Eminem nyumbani kwake alihukumiwa miaka 5 na alitumikia siku 524 na baadae kupata msamaha kutumikia kifungo cha nje huku akiwa chini ya uangalizi na sasa imetajwa hukumu yake itatolewa Disemba 15 .
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK