AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MAMLAKA za Jiji la Colorado zimethibitisha kuwa familia ya kijana aliyefariki baada ya kuchomwa sindano ya sumu na polisi italipwa fidia ya Dola za Marekani milioni 15 (zaidi ya Sh bil. 34 za Tanzania).
Elijah McClain mwenye umri wa miaka 23, alifariki mwaka 2019 mjini Aurora, ikiwa ni siku tatu tangu aliposimamishwa na polisi watatu na kisha kuchomwa sumu hiyo.
Familia yake ilifungua kesi kuwashitaki wanausalama hao na hii inakuwa ni fidia kubwa zaidi kuwahi kulipwa familia ya marehemu ndani ya Colorado.
Kwa upande wake, mama mzazi wa McClain, Sheneen, amewashukuru waliomuunga mkono katika kesi hiyo, pia akisema kifo cha mwanawe huyo kitaleta mapinduzi makubwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK