AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan amesmifia staa wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo kutokana na performance ambayo ameifanya leo Novemba 23, 2021 jijini Arusha.
Mhe. Samia amesema hayo wakati akihutubia mara baada ya kushuhudia shoo kali ya Marioo na kundi lake kwenye hafla ya Wiki ya Nenda kwa Usalama ambayo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.
“Tumemsikia Marioo hapa ingawa Marioo anawaambia wenzie ule unywaji ni mtamu (Bia Tamu) lakini yeye hanywi, kwahiyo muangalie vizuri hapa anayekupa meseji akakisifia kitu na yeye afanye kama yeye hafanyi muulizeni kwanza kwanini?” – Rais Samia, leo Arusha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK