Rais Samia "Muulizeni Marioo ‘Kwa Nini Hanywi Bia’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan amesmifia staa wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo kutokana na performance ambayo ameifanya leo Novemba 23, 2021 jijini Arusha.

Mhe. Samia amesema hayo wakati akihutubia mara baada ya kushuhudia shoo kali ya Marioo na kundi lake kwenye hafla ya Wiki ya Nenda kwa Usalama ambayo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.

“Tumemsikia Marioo hapa ingawa Marioo anawaambia wenzie ule unywaji ni mtamu (Bia Tamu) lakini yeye hanywi, kwahiyo muangalie vizuri hapa anayekupa meseji akakisifia kitu na yeye afanye kama yeye hafanyi muulizeni kwanza kwanini?” – Rais Samia, leo Arusha.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad