AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku ya jana tarehe 22/11, Mwanamitindo na msanii wa Bongo Flava, Hamisa Mobetto kupitia Insta Story yake,aliwatolea uvivu waunganisha picha na wanaombambikia kuwa anaolewa na Wanaume ambao hata hawatambui😁.
Hasa chukua hii Exclusive ya leo tarehe 23/11 kutokea kwa Member wa TOO MUCH MONEY😁, @mwijaku_01 ambaye amefunguka kuwa Hamisa Mobetto na mfanya biashara, Fred Vunjabei ni watu ambao wako kwenye hatua za mwisho kukamilisha suala lao la ndoa. Akiwa kwenye LEO TENA ya Clouds Fm Mwijaku amedai ana hadi meseji za vikao vinavyoendelea kuhusiana na jambo hilo.
By @sajomedia
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK