Real Madrid Waona Isiwe Tabu Waamua Kuachana na Mbappe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




UONGOZI wa Real Madrid umeona ni bora kuachana na mpango wa kumchukua mshambuliaji wa PSG na timu ya Taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, kupitia usajili wa Januari, mwakani.

Uamuzi wao huo umekuja baada ya kukubaliana wasubiri mwishoni mwa msimu huu kwa kuwa Mbappe atakuwa mchezaji huru.

Kwa kuwa Mbappe atakuwa na mkataba kufikia Januari, Madrid watalazimika kulipa kiasi kikubwa cha fedha, ambacho hakitakuwepo majira ya kiangazi kwa sababu atakuwa amemaliza mkataba wake na PSG.

Madrid wamejaribu mara kadhaa kuinasa saini ya nyota huyo mwenye umri wa miaka 22 na miezi michache iliyopita Rais wa klabu hiyo ya La Liga, Florentino Perez, alisema atamchukua ifikapo Januari.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad