AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo ni mwezi mmoja kamili tangu mrembo Jacqueline Clifford aweke picha ya kwanza Instagram, miaka takriban nane baada ya kuwa amefungwa jela huko Macau, China.
Tangia hapo amekuwa akishare picha zikimuonesha akifurahia maisha ya uraiani na marafiki zake wa huko na haoneshi dalili za kuja Bongo hivi karibuni.
Kwahiyo, mashabiki wanahoji, waja lini?
“Watu wanauliza utakuja lini kama vile watakuja kukupokea Airport,” ameandika shabiki mmoja aitwaye Berther kwenye post mpya aliyoiweka Jumatano hii.
“If I were you nisingerudi Bongo, huku miyeyusho tu, utawakiwa na jua mpaka ushangae. Kama nchini China wanaruhusu kuendelea kuwepo huko baki tu utafute pesa, fanya maisha yako,” amesisitiza.
Unakubaliana na ushauri wa Berther?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK