AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kufuatia kuahirishwa kwa mechi kadhaa za Premier League inaelezwa kuwa kuna uwezekano wa ligi hiyo kusimamishwa kwa muda kutokana na janga la Covid -19.
Baadhi ya klabu ikiwemo Manchester United zimeshambuliwa na ugonjwa huo kwa baadhi ya wachezaji na wafanyakazi wake, kiasi cha kuifunga kambi kwa muda.
Nusu ya mechi za wikiendi hii zimeahirishwa kutokana na janga hilo.
Licha ya taarifa hizo Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp na Mwenyekiti wa Crystal Palace, Steve Parish wanaamini haijafika levo ya kusitisha ligi kwa muda.
Offer ya X Mass Tangaza Biashara yako yoyote Kwenye Blog Hii kwa Sh 10,000 tu
Piga simu 0714604974 kwa Maelezo zaidi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK