AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
OB' @otilebrown mwanamuzi kutoka +254 Kenya amesifia uwezo wa mwanamuziki mwenzake kutoka Tanzania @harmonize_tz katika verse ya wimbo wao wa pamoja waliofanya kwa mara ya kwanza.
Otile ametumia insta story yake kuelezea hilo, ambapo amemuelezea Harmonize kufanya vizuri katika ngoma hiyo (akimtaja kama mbishi) huku akieleza kujiskia fahari kwa mashabiki wa tanzania na kenya ambao watakua tayari kusikia kazi hiyo.
Hivi karibuni @harmonize_tz akiwa nchini Kenya katika ziara yake ya kimuziki alitangaza wazi kuja na Extended Playlist 'EP' itakayo kuwa na nyimbo 5 za pamoja kati yake na msanii huyo mkali kutoka Kenya.
C©✍🏾@keviiiy.iam
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK