AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
1.Atakuwa akilipwa 80% ya mshahara wa spika aliyepo bungeni maisha yake yote.
2.Gari Jipya VX V8 litakuwa lake binafsi
3.Dereva atakayelipwa na Serikali kwa maisha yake yote
4.Mafuta ya gari Lita 70 kila wiki
5.Kiinua mgongo 50% ya fedha aliyowahi kulipwa mshahara alipokuwa spika
6.Bado atakuwa na maslahi ya ubunge mpaka wana kongwa watakapomchoka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK