Marekani Yazuia Mtando wa 5G Kisa Kuingilia Mfumo wa Ndege

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Serikali ya Marekani imetoa wito wa kutaka kucheleweshwa kwa shughuli ya usambazaji wa mtandao wa kasi ya 5G kwenye simu za mkononi kutokana na uwezekano kuathiri usafiri wa anga.

Waziri wa Uchukuzi Pete Buttigieg na Mkuu wa Usimamizi wa Anga (FAA), Steve Dickson wametoa wito kwa waendeshaji wa mitandao wa AT&T na Verizon kuahirisha kwa wiki mbili uzinduzi wa mtandao huo uliopangwa kufanyika Januari 5.

FAA inahofia teknolojia ya 5G inaweza kuingilia utendaji kazi wa vifaa fulani vya kieletroniki vya ndege, na kuongeza kuwa masafa yanayotumika na mtandao wa 5G nchini Marekani yanakaribia kufanana na masafa yanayotumika katika altimita za ndege.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad