Maskini..Beki wa Comoros Aliyegeuzwa Kipa Mechi yao na Cameroon Ajisahau Kama ye ni Kipa na Kuficha Mikono nyuma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ukiitazama hiyo picha inaweza kukushangaza kidogo, straika wa Cameroon anaonekana akiwa anakaribia kufunga, lakini kipa wa Comoros anaonekana akiwa ameweka mikono nyuma.

Ndiyo ameweka mikono nyuma kwa kuwa hajazoea kusimama langoni.

Kipa huyo aliyecheza katika mchezo huo wa Hatua ya 16 Bora ya #AFCON anaitwa, Chaker Alhadhur ambaye kiuhalisia ni beki wa kushoto na ndiyo maana hata wakati anamzuia mshambuliaji huyo alijisahau kama yeye ni kipa ndiyo maana akaweka mikono nyuma ili kutoushika mpira.

#Alhadhur alilazimika kusimama langoni katika mchezo huo kwa kuwa kipa chaguo la kwanza Salim Ben Boina ni majeruhi, makipa wawili wa akiba Moyadh Ousseini na Ali Ahamada wote hawakutakiwa kucheza kwa kuwa inaelezwa walikutwana maambukizi ya Covid-19.

CHAKER ALHADHUR NI NANI?
Beki huyu alizaliwa Ufaransa na akakulia huko katika maisha yake ya awali, akicheza katika timu za Nantes, Caen na Chateauroux kabla ya kutua Ajaccio mwaka 2021.

Umri wake ni miaka 30, alianza kuitumikia Comoros ambapo ni asili yake mwaka 2014.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad