Watu 12 Wafariki kwa Mkanyagano Kuukaribisha Mwaka Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Takriban watu 12 wamefariki dunia na wengine wapato 13 kujeruhiwa mapema leo kufuatia mkanyagano katika jumba la kidini la Mata Vaishno Devi huko Kashmir India.


Jumba hilo ambalo hutembelewa na maelfu kila siku kwa ajili ya maombi limeleta maafa baada ya watu wengi kufika kutoa heshima zao kuelekea mwaka mpya wa 2022.


Taarifa kutoka vyombo vingi vya habari zinasema kuwa zaidi ya watu 20 wamepata majeraha zaidi ikiwa picha mbalimbali zinaonesha kuwepo kwa magari ya wagonjwa yakikimbilia eneo la tukio.


Kupitia kurasa mbalimbali za kijamii Rais wa India Rashtrapati Bhavan, ametoa salam zake za pole na kusema ameshtushwa na tukio hilo ambapo ni eneo watu walilokwenda kwa ajili ya ibada huku akiwatakia uponyaji wa haraka wote waliopata majeraha.


Jumba hilo la kidini la Mata Vaishno Devi ni maarufu kwa dhehebu la Hindu

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad