AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
SOMALIA: Televisheni ya Taifa imeripoti Wanamgambo wa Al-Shabaab kuvamia vituo viwili vya Polisi Mjini #Mogadishu na kusababisha vifo vya Watu watano na majeruhi 16
Shambulio hilo limetokea leo, Februari 16 ambapo Waziri wa Usalama wa Ndani, Abdullah Nor amesema Vikosi vya Usalama vimewashinda Wanamgambo hao
Aidha, wiki iliyopita Watu sita walifariki na wengine kujeruhiwa baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga ndani ya Basi lililokuwa na Wajumbe walioshiriki katika uchaguzi wa Bunge unaoendelea Nchini humo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK