Kocha Misri Aomba Fainali Kusogezwa Mbele

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KOCHA msaidizi wa Misri Diaa al-Sayed anataka fainali yao ya Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya Senegal ichezwe Jumatatu badala ya Jumapili ili wapate siku ya ziada ya kupumzika.

 

Mafarao waliwashinda wenyeji Cameroon siku ya Alhamisi kwa mikwaju ya penalti, ukiwa ni ushindi wao wa tatu mfululizo.

Senegal, ambao wameshinda michezo zao zote ndani ya dakika 90, walishinda Burkina Faso 3-1 Jumatano.

“Naomba CAF fainali ichezwe Jumatatu,” Senegal wana siku moja ya ziada ya kupumzika” alisema Al-Sayed.

 

Al-Sayed alikuwa akizungumza na vyombo vya habari kwa sababu kocha wa Misri Carlos Queiroz alitolewa nje kwa kadi nyekundu wakati wa mechi.

 

Mechi ya kutafuta mshindi wa nafasi ya tatu kati ya Cameroon na Burkina Faso ulipaswa kuwa Jumapili pia, lakini sasa itachezwa Jumamosi tarehe ya fainali iksogezwa itachelewesha wachezaji kurejea kwenye vilabu vyao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad