Utabiri TMA : Hakuna Uwezekano Kimbunga Batsirai Kufika Pwani ya Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya uwepo wa Kimbunga Batsirai katika maeneo ya Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi. Kimbunga hicho kilijitokeza Januari 27, 2022 na kimesogea Kisiwa cha #Madagascar

Mamlaka hiyo imesema uchambuzi wa Mifumo ya Hali ya Hewa unaonesha kutokuwepo kwa uwezekano wa Kimbunga hicho cha Batsirai kufika katika Pwani ya #Tanzania

Maeneo yanayotarajiwa kupata vipindi vya Mvua kubwa kutokana na uwepo wa Kimbunga hicho ni Mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma, Morogoro, Pwani, Singida, Dodoma, Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe na Rukwa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad