Steve Nyerere "Mimi Sio Msemaji was YANGA, Haji Manara Alitania"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Msemaji wa Yanga Haji Manara kumteua Steve Nyerere kuwa Msemaji msaidizi wa klabu hiyo kutokana na kujiuzulu Usemaji wa Wasanii, Steve ameweka wazi kuwa sio kweli kwamba aliteuliwa, ilikuwa ni utani na dongo kutoka kwa Manara.

"Haji Manara ni Ndugu yangu mimi na yeye tuna historia kwenye Maisha yetu ya Upambanaji lakini kikubwa Tunataniana sana, Juzi Arusha Aliniwahi kunipa Dongo Hadharani katoa Ajira kwangu Nilifurahi sana Maana ucheshi unaongeza siku za kuishi".

"Ikumbukwe kuwa Haji Manara Ni MSEMAJI wa wananchi Timu kubwa katika ukanda wa Africa,...na kikubwa zaidi mimi ni shabiki wa Yanga kindaki ndaki."

"Ni Utani, sio kweli mimi MSEMAJI wa Yanga Ulikuwa utani tu kati ya mimi na Ndugu Yangu kaka yangu rafiki yangu.,..,kipenzi HAJI MANARA KING." - Steve Nyerere


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad