Haji Manara "Sio Kila Vita Inayokuja Mbele Yako lazima Upigane Nayo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kila siku kuna watu mahali watakuwa wanatamani Anguko lako.

Sio kwa sababu umewafanyia Kitu Kibaya, la hasha - Wakati mwingine hata unapowatendea mema.

Kuna watu wanachukia wewe kuwa na nafasi uliyonayo,na cha kushangaza hata ukiwa haupo hapo wao hawawezi kuipata hyo nafasi .

Kuna watu wanachukia kwa sababu ya vitu ulivyonavyo na hata hawataki kujiuliza umevipataje.hufikiria umevipata kwa fluk bila kuangalia jitihada zako za namna unavyopigana kujikwamua katika umasikini

Kuna watu watakusema vibaya kwa Maneno ya uongo ili wakuharibie sifa zako na kuchafua jina lako hata wakati wewe hauna ugomvi nao. na wengine huwajui na hata hamfahamiani hata chembe.

Kuna watu watakuja kuwa karibu na wewe ili tu wakufahamu vizuri na kutumia kila udhaifu watakaoupata kukushusha chini.wanaweza kukusingizia uovu mkubwa usiojua chanzo chake ni nini.

Katika makundi haya Unatakiwa kuwa makini.lazma uwe na machaguo sahihi ya aina ya watu wanaostahili kukukurubia.

Kuna ambao wanastahili Muda wako na Nguvu zako za kupambana nao lakini wengi HAWASTAHILI kabisa Muda na Nguvu zako...

...kwa sababu wamekuja kama “VISION DISTRACTORS”(Watu ambao wanafanya Mambo ili wakutoe kwenye mstari).

Kumbuka sio KILA VITA INAYOKUJA MBELE YAKO unatakiwa KUPAMBANA NAYO.

Sio kila mtu unatakiwa KUMJIBU. Wengi wao ni kuwapuuza na hapa usikubali kujibu tuhuma za hovyo hovyo zinazotengezwa kwako toka huku mitandaoni,,kwa nafasi yako kubali kusingiziwa hata machafu coz huku hatujuani tunasomana na kuhukumiana vile mtu anavyojisikia

Wengine unapoanza kuwajibu tu ndio UMEWAPA USHINDI.

Amua kila siku kuwa “FOCUSED” na kile unchofanya na USIKATISHWE tamaa na watu wa namna hii.

Ramadhani Kareem

Tupo live now kuanzia Saa saba na Robo Kwenye MANARA TV (@hajimanaratv) kukuletea Press yetu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad