Mo Salah Avunja Rekodi ya Ozil Dhidi ya United

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Mohamed Salah usiku wa jana aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa bao nne kwa nunge dhidi ya Manchester United akifunga mabao mawili na kutoa usaidizi wa goli moja.

Mo Salah anakuwa mchezaji wa pili katika historia ya EPL kufunga na kutoa usaidizi wa goli dhidi ya Manchester United wakiwa nyumbani na ugeni rekodi iliyowekwa na Mesut Ozil miaka saba iliyopita wakati anakipiga ndani ya The Gunners (Arsenal).

Tukumbuke pia kabla ya mchezo dhidi ya Manchester United Salah alicheza michezo sita mfululizo ya EPL bila kufunga bao hata moja, gari imekuja kuwaka kwa Manchester United.

Vipi,inafaa tukisema United wamekuwa vibonde wa ligi?

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad